• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

Posted on: March 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema kuwa sasa mashauri na kesi zote za migogoro ya ardhi zimeanza kusikilizwa rasmi kupitia Baraza la ardhi na nyumba Wilayani Malinyi.


Mhe. Waryuba ameyasema hayo leo Machi 24, 2025 wakati akizungumza na mwandishi wa habari hii mara baada ya huduma ya kusajili na kusikiliza mashauri na kesi za migogoro ya ardhi kuanza rasmi katika Wilaya ya Malinyi.


"Namshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuanza kwa huduma hii Wilayani Malinyi, ujaji wa Baraza la ardhi na nyumba katika Wilaya yetu ni utekelezaji wa 4R za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa sababu Baraza la ardhi la Kata linatoa usuluhishi kupatanisha Wananchi wenye migogoro ya ardhi kabla ya kulumbana na kupelekana Mahakamani,hivyo falsafa hii ya Mhe. Rais ni nzuri sana kwani inaleta Amani na utulivu katika maeneo yetu" amesema Mhe. Waryuba.


Aidha Mhe. Waryuba amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi ndugu Khamis Jaaphar Katimba kwa kuwezesha upatikanaji wa Ofisi zitakazotumika kutolea huduma hii ya kusajili na kusikiliza mashauri na kesi za migogoro ya ardhi ambapo kwa sasa huduma hii itapatikana katika jengo la Ofisi ya ardhi lililopo eneo la Misegese.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la ardhi na nyumba Wilaya ya Malinyi ndugu Richard Mmbandu amesema kuwa Baraza hilo limeanza kazi rasmi Wilayani Malinyi hivyo Wakazi wa Wilaya ya Malinyi wenye mashauri na migogoro ya ardhi wanakaribishwa kwenda kusajili na kusikilizwa mashauri yao mara mara baada ya kupita katika hatua ya usuluhishi katika baraza la Kata na kupatiwa cheti cha usuluhishi.


Ndugu Emmanuel Senga na Bi. Esha Rashidi ambao ni Wakazi wa Wilaya ya Malinyi wenye migogoro ya ardhi waliofika katika ofisi za Ardhi Wilaya ya Malinyi kwaajili ya kusajili na kusikilizwa mashauri yao wamemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba na Mkurugenzi Mtendaji Khamis Jaaphar Katimba kwa kuwasogezea huduma hiyo ambapo hapo awali walitumia gharama kubwa na kusafiri umbali mrefu kwenda Wilaya ya Ulanga na Wilaya ya kilombero kwaajili ya kupata huduma hiyo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI KHAMIS KATIMBA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA JIMBO LA MALINYI AWMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.