• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC Waryuba azindua Programu ya visima 900 vya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan

Posted on: September 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amezindua program ya visima 900 vya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika ngazi ya Wilaya.


Uzinduzi huo ambao umefanyika Septemba 13, katika KItongoji cha Kitiliwele Tarafa ya Malinyi ni miongoni mwa visima 5 ambavyo Wilaya ya Malinyi imepatiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika program hiyo ya visima 900.


Katika uzinduzi wa Program hiyo Mhe. Waryuba aliambatana na Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Malinyi ambapo amewataka Wakazi wa Kitongoji hiko na Wilaya nzima ya Malinyi kutunza visima hivyo mara vitakapokamilika ili viweze kuwa endelevu.


Akisoma taarifa ya utekelezaji ya program hiyo Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira RUWASA (W) Ndugu Marco Chogero amesema programu ya visima 900 vya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni mradi unaohusisha uchimbaji wa visima na uendelezaji wa ujenzi wa visima maeneo ya Vijijini ambako kuna shida kubwa ya upatikanaji wa maji safi na Salama.


Meneja Chogero ameeleza kuwa kwa Wilaya ya Malinyi program ya visima 900 vya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inahusisha utekelezaji wa miradi mipya mitano katika Kijiji vya cha Kiswago Kitongoji cha Salamiti, Kijiji cha Malinyi Kitongoji cha Kitiliwele, Kijiji cha Ihowanja, Kijiji cha Mabanda, na Kijiji cha Kilosa Mpepo


"Katika kutekeleza program hii Wilaya ya Malinyi Serikali imetenga kiasi cha shilingi 300,000,000 ambapo kwa kila mradi zimetengwa shilingi 60,000,000 na kukamilika kwa program hii kutaongeza wigo wa upatikanaji wa maji safi na salama katika Wilaya ya Malinyi ambapo watu 5500 sawa na asilimia 2.44% watafaidika na huduma ya maji kupitia program hii" amesema Ndugu Chogero


Hata hivyo akizungumza kwa niaba ya Wakazi wa Kitongoji cha Kitiliwele, Mwenyekiti wa Kitongoji hiko ndugu Lutamla Kujelwa ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa mradi huo ambao utasaidia kupunguza adha ya upatikanaji wa maji safi na salama na kuongeza kuwa Kitongoji hiko bado kinakabiliwa na changamoto ya uhaba wa madarasa pamoja na ubovu wa miundombinu ya barabara hasa kipindi cha masika.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI KHAMIS KATIMBA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA JIMBO LA MALINYI AWMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.