• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AWATAKA WASIMAMIZI WA VIKUNDI VYA MIKOPO KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UAMINIFU

Posted on: September 26th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amewataka Wasimamizi wa mikopo ya Vikundi vya mikopo inayotolewa na Halmashauri kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu kuwa waaminifu kwenye fedha wanapovisimamia vikundi hivyo.


Mhe. Waruba amesema hayo septemba 26, 2024 alipokuwa akifunga mafunzo ya wasimamizi wa mikopo ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.


Aidha, Mhe. Waryuba amesema kuwa anaamini waliopata mafunzo hayo ya usimamizi wa mikopo wataenda kutenda vyema na fedha zitaenda kuchakatwa vizuri na kusimamia uendeshaji wake bila kuwepo na malalamiko yoyote kwa kuhakikisha mikopo inatolewa kwa vikundi vyenye sifa.


Sambamba na hilo, Mhe. Waryuba amewataka Viongozi wa serikali za mitaa kuwasomea Wanakijiji wao taarifa za mapato na matumizi ya kijiji kabla ya tarehe 20 oktoba, 2024 na kuongeza kuwa taarifa hizo zipelekwe kwa Mkurugenzi wa Halmashauri na kufikishwa kwake ili kuhakikisha maelekezo hayo yamefanyiwa kazi kwa usahihi.


Pia Mhe. Waryuba ametoa pongezi kwa waaandaaji wa mafunzo hayo na kuwataka wakajitume na kufanya kazi kwa haki ili fedha zilizotolewa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan zifanye kazi iliyokusudiwa.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Jaaphary Katimba ambaye pia ndiyo Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Malinyi amesema kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa unakaribia hivyo shughuli mbalimbali za uhamasishaji zimekwishaanza kufanyika na hivyo amewaomba Viongozi wa Serikali za Mitaa pamoja na Wananchi wote kushiriki kikamilifu na kuhakikisha kuwa uchaguzi unafanyika na kumalizika kwa usalama.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI KHAMIS KATIMBA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA JIMBO LA MALINYI AWMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.