• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AWATAKA WAHITIMU WA KOZI YA JESHI LA AKIBA KUZINGATIA NIDHAMU

Posted on: November 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amewataka Wahitimu wa kozi ya jeshi la akiba kundi la 9 kwa mwaka 2024 kuzingatia nidhamu na kuwa mfano bora kwa jamii.


Dc Waryuba amesema hayo mwishoni mwa juma lililopita wakati akifunga kozi ya Jeshi la akiba kundi la 9 kwa mwaka katika Kata ya Biro.


DC Waryuba ameeleza kuwa pamoja na changamoto ya Wazazi /Walezi wa Kata hiyo kuwa na mwamko mdogo wa kuwaruhusu Vijana kushirki mafunzo hayo lakini Vjana 67 waliohitmu kozi hiyo wamefikia viwango vinavyokubalika kwa Askari wa Jeshi la akiba.


Akizungumza katika hafla hiyo fupi ya kuhitimisha kozi ya Jeshi la akiba Diwani wa Kata ya Boro Mhe. Ernest Ndagwe amewaomba Wazazi/ Walezi kuwaruhusu vijana wao kushiriki program mbalimbali zinazotolewa na Serikali pindi fursa hizo zinapotokea kwaajili ya manufaa ya Taifa letu.


Aidha, Mhe, Ndagwe ameuomba Mhe. DC Waryuba kuwaangalia vijana hao kwa jicho la kipekee pindi zinapotokea fursa zinazoendana na mafunzo waliyopata katika kozi hiyo.


Sambamba na hilo Diwani Ndagwe amewakumbusha Wakazi wa Kata ya Biro kushiriki kikamilifu katika kuchagua Viongozi watakaowaongoza katika kipindi kingine cha miaka mitano siku ya tarehe 27 ambayo ni siku maalum ya uchaguzi wa Serikali za mitaa.


Hata hivyo, Taarifa ya awali imeeleza kuwa kozi hiyo imetolewa kwa kipindi cha wiki 18 mfulululizo huku ikitaja idadi ya wanafunzi 67 ambao wamehitimu kozi hiyo na kuongeza kuwa Wanafunzi 20 hawakufanikiwa kufika mwisho wa kozi hiyo kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo utoro, nidhamu, ugonjwa na wengine kutokufikia kiwango kinachokubalika

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI KHAMIS KATIMBA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA JIMBO LA MALINYI AWMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.