• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

Watahiniwa 970 wanatarajiwa kumaliza kidato cha nne Malinyi

Posted on: November 13th, 2020

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Hawa Mposi amesema kati ya wanafunzi hao wavulana ni 460 na wasichana na 510 na shule 13 za sekondari ndizo zitatoa wanafunzi hao wilayani humo.

Mposi ameyasema hayo wakati wa semina kwa wasimamizi wa mtihani wa kidato cha nne iliyofanyika katika ukumbi wa halmashauri mjini hapa.

Amesema maandalizi kwa sasa yapo vizuri hivyo kuwataka wasimamizi hao wawe wazalendo kwa kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu na kusema kuwa wale wote watakaojihusisha na vitendo viovu serikali haitasita kuwachukulia hatua.

Mkurugenzi huyo mtendaji amewataka wasimamizi hao kuepuka takrima zinazoweza kusababisha usimamizi usio makini huku ikieleweka kuwa taifa limewaamini.

Amebainisha kuwa kama wakiingia katika udanganyifu katika usimamizi kunaweza sababisha kufutwa kwa mtihani au matokeo ya wanafunzi katika kituo husika ukizingatia kuwa maandalizi ya mitihani hiyo ni ya gharama kubwa.

Hata hivyo mkurugenzi huyo mtendaji amewatoa hofu wasimamizi hao kuwa wasiwe na wasiwasi kwani halmashauri imewaandalia stahiki zao na kilichobaki wao tu katika kutekeleza majukumu yao.

Aidha mkurugenzi huyo pia amewataka wakuu wa shule kuwa makini katika usimamizi na waandae mazingira rafiki ya ufanyaji kazi na kusiwepo na manung'uniko yoyote.

 Kwa upande wao wasimamizi hao wamemuahidi mkurugenzi huyo mtendaji kuwa hawatamuangusha na watafanya kazi kwa umakini bila tamaa au uzembe wowote kama walivyokula viapo vyao.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020/2021 December 18, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 January 17, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI January 18, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2018 December 14, 2017
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Asisitiza utoaji wa lishe bora kwa watoto

    February 26, 2021
  • MADIWANI WAAPISHWA MALINYI

    December 16, 2020
  • Shirika la Eye Care foundation latoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 68,110,000 Malinyi

    November 14, 2020
  • Watahiniwa 970 wanatarajiwa kumaliza kidato cha nne Malinyi

    November 13, 2020
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    OFISI ZINAPATIKANA ENDEO LA MISEGESE

    Postal Address: P.O.BOX 18 Malinyi

    Telephone: 0784502410

    Mobile: 0755388218

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki©2017 MALINYIDC Haki zote zimehifadhiwa