• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

Shirika la Eye Care foundation latoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 68,110,000 Malinyi

Posted on: November 14th, 2020

: SHIRIKA la Eye Care Foundation lililopo miini Ifakara leo tarehe 13 novemba limetoa vifaa vya matibabu ya macho katika hospitali ya wilaya ya Malinyi vyenye thamani ya shilingi milioni 68.1.

Makabidhiano hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Malinyi mbele ya viongozi wa halmashauri hiyo wakiongozwa na mkurugenzi wake mtendaji Hawa Mposi.

Akikabidhi vifaa hivyo,Mratibu wa mradi wa Eye Care Foundation Daniel Wilbard amesema wameamua kutoa vifaa hivyo tokana na uhitaji wa vifaa na huduma katika wilaya hiyo.

Wilbard amesema shirika hilo lipo mjini Ifakara wilayani Kilombero na linafanya kazi katika halmashauri zote nne za wilaya tatu ambazo ni halmashauri za mji Ifakara na wilaya ya mji zilizopo wilayani Kilombero na halmashauri za Ulanga na Malinyi.

Amesema licha ya kutoa vifaa pia wanatoa huduma za macho katika halmashauri hizo na kuahidi kuendelea kutoa huduma katika maeneo hayo kadri siku zinavyokwenda.

Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Hawa Mposi amelishukuru shirika hilo kwa msaada walioutoa na kusema kuwa kweli wamekuwa na nia ya dhati ya kusaidia kutatua tatizo hilo huku wakielewa kuwa hospitali hiyo bado haijaanza kutoa huduma.

Mposi amewaahidi wananchi wa Malinyi kuwa punde tu hospitali ikifunguliwa na huduma zikianza kutolewa wananchi watapata huduma bora tokana na walivyojipanga katika kutoa huduma bora za afya.

Naye mganga wa macho wa wilaya hiyo Stanford Mshomi amesema ifikapo Novemba 28 mwaka huu watafanya huduma ya upasuaji wa mtoto wa jicho katika hospitali hiyo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020/2021 December 18, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 January 17, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI January 18, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2018 December 14, 2017
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Asisitiza utoaji wa lishe bora kwa watoto

    February 26, 2021
  • MADIWANI WAAPISHWA MALINYI

    December 16, 2020
  • Shirika la Eye Care foundation latoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 68,110,000 Malinyi

    November 14, 2020
  • Watahiniwa 970 wanatarajiwa kumaliza kidato cha nne Malinyi

    November 13, 2020
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    OFISI ZINAPATIKANA ENDEO LA MISEGESE

    Postal Address: P.O.BOX 18 Malinyi

    Telephone: 0784502410

    Mobile: 0755388218

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki©2017 MALINYIDC Haki zote zimehifadhiwa