Utangulizi:
Malengo ya Idara ya Mipangomiji na Mazingira kwa Mwaka 2013/2014 ni Malengo Matatu makubwa yafuatayo:
(a) Uongozajiwa Ukuaji wa Mji katika Misingi endelevu na ya kimkakati.
(b) Kuimarishahuduma za kiuchumi, miundombinu na mawasiliano
(c) Kuimarisha usimamizi wa Maliasili na Mazingira.
OFISI ZINAPATIKANA ENDEO LA MISEGESE
Postal Address: P.O.BOX 18 Malinyi
Telephone: 0784502410
Mobile: 0755388218
Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz
Hatimiliki©2017 MALINYIDC Haki zote zimehifadhiwa